HomeRadio Vaticana
foto testata

HABARI ZA AFRIKA

  HABARI MPYA
  TAHARIRI

 
On Demand

Habari za kila siku kutoka Radio Vatican kwa lugha ya Kiswahili

Maaskofu Rwanda wasema, utamaduni wa kifo unainyemelea nchi yao!
Baraza la Maaskofu Katoliki Rwanda, limehitimisha mkutano wake wa kawaida, kwa kuonesha wasi wasi kuhusu mabadiliko ya sheria za nchi yanayoendelea kufanywa na Serikali ya Rwanda kwa sasa, kutokana na dalili za utamaduni wa kifo kuanza kupenya  
Ukweli na uwazi katika masuala ya fedha na mikataba ya kimataifa, ili rasilimali iweze kuwa ni kwa ajili ya mafao ya wengi
Maaskofu kumi na saba kutoka sehemu mbali mbali za dunia, hivi karibuni wametoa wito kwa Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Ulaya kusima kidete kulinda na kudumisha ukweli na uwazi katika masuala ya fedha pamoja na kutoa malipo ya haki kwa malighafi  
Yaliyojiri kwenye Kongamano la kimataifa juu ya Bara la Afrika mjini Roma
Tunu ya utu “ubuntu” katika mtazamo wa kiafrika yaweza kuwa mwamsho wa maisha ya kiroho kwa binadamu wa leo mahali popote duniani. Haya yamesemwa na Kardinali Jonh Njue, Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Nairobi na Rais wa Baraza la MaaskofuKatoliki  
"Nendeni ulimwenguni kote mkafundishe na kubatiza"
Mpendwa mwanatafakari wa Neno la Mungu, leo tunaadhimisha sherehe ya kupaa Bwana Yesu mbinguni. Baada ya kazi ya kitume na kimisionari hapa duniani Bwana Yesu Kristo lazima akatoe taarifa kwa Baba yake. Kumbe anapaa mbinguni kwenda pia kutayarisha  
Marehemu Padre James Mbwana Amoni kuagwa kwa Ibada ya Misa Takatifu, Jimboni Palestrina, Ijumaa 18 Mei 2012 alasiri
Askofu Domenico Sigalini wa Jimbo Katoliki Palestrina, Italia, anasema, amepokea kwa mshangao na masikitiko makubwa kifo cha ghafla cha Padre James Mbwana Amoni, kilichotokea, Jumanne, tarehe 15 Mei 2012 kutokana na shinikizo la damu, alipokuwa  
Vijana tambueni na kuenzi malengo ya utendaji kazi
Moja ya maswali muhimu katika utendaji wa kila siku huwa ni kufahamu ni kwa nini unafanya kile unachokifanya. Ukishapata jibu la swali hilo, utagundua kuwa utendaji wake unapata umuhimu wa pekee. Baada ya kuona ni nini maana ya kazi na chanzo chake  
Viongozi wa Afrika kuhudhuria mkutano wa G8 huko Marekani ili kujadili hali ya kilimo na usalama wa chakula duniani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania yuko Jijini Washington, Marekani kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi Tajiri Zaidi na Zenye Viwanda (Group of Eight–G-8) kwa mwaliko wa Rais wa Marekani Mheshimiwa Barack Hussein Obama. Rais Kikwete ni mmoja wa  
Padre James Mbwana Amoni wa Jimbo Katoliki Mbeya, Tanzania afariki dunia mjini Roma, mipango ya kusafirisha mwili wake inafanywa!
Mheshimiwa Padre James Mbwana Amoni kutoka Jimbo Katoliki Mbeya, Tanzania, aliyekuwa anasoma Chuo Kikuu cha Kipapa cha Augustinianum, mjini Roma amefariki dunia kwa ghafla, Jumanne, tarehe 15 Mei 2012 hapa mjini Roma na mipango ya kusafirisha mwili  
Caritas Barani Ulaya yaanza mkutano kuhusu wakimbizi, wahamiaji pamoja na athari za myumbo wa uchumi duniani
Mashirika ya Misaada ya Kanisa Katoliki Barani Ulaya, Caritas, tarehe 16 Mei 2012 yameanza mkutano wake huko Cagliari, Italia, unaopania kujenga utamaduni wa majadiliano miongoni mwa nchi zinazozunguka Bahari ya Mediterania, bila kusahau madhara ya  
Umissionari Barani Afrika ni chachu na sababu ya maendeleo endelevu: kiroho na kimwili
Mpendwa msikilizaji wa Radio Vatican, karibu tena katika mfululizo wa vipindi vyetu vya Uinjilishaji wa kina. Juma lililopita tulitafakari juu ya Mapadre, walio watendaji pamoja na Maaskofu. Kwa kifupi tulizungumzia juu ya nafasi yao katika maisha  
Uchaguzi huru, wa haki na amani unawezekana kabisa nchini Kenya, ikiwa kama kila mwananchi atapania kujenga msingi wa haki na amani!
Askofu Alfred Rotich wa Jimbo la Kijeshi nchini Kenya, anawaalika waamini pamoja na wananchi wote wa Kenya kuhakikisha kwamba, wanatumia vyema kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini humo hapo mwakani kwa kusali, kujenga na  
Familia ni shule ya maisha ya Kikristo, tunu za kibinadamu na kitovu cha ushuhuda wa imani, matumaini, mapendo, ukarimu na upatanisho!
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania katika ujumbe wake wa Kwaresima kwa mwaka 2012, wakiyaangalia matukio makuu kwa mwaka huu, hususan Kongamano la Saba la Familia Kimataifa pamoja na mambo mengine wanachambua kwa kina na mapana kuhusu Familia.
  

Benedikto XVI: imarisheni lango la uhuru na matumaini

Hija ya kichungaji ya Baba Mtakatifu Benedikto wa kumi na sita, iliyomalizika hivi karibuni nchini Benin, moja ya malango makuu ya biashara ya utumwa, yaliyojulikana kama “lango lisilo na matumaini ya kurudi”, kwa Waswahili pengine wangeweza kusema, Bwagamoyo hapa tunapata mzizi neno Bagamoyo!  

Mappa Interattiva
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 


Arabic French English Italian Kiswahili Portuguese
Vatican Radio - Information Area on Africa - All the contents on this site are copyrighted ©.